Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
Umezoea kutumia wasee please call me mpaka ukipress *130* simu ukutolea phone book ujichagulie.
We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya
Kwenu muko wadosi mpaka kuku zenu zinafanya aerobics saa kumi na kunywa juice instead ya maji