We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
Umekonda mbaya mkicheza birikicho unajifichanga Kwa sindano
Una incisors ndefu adi ukisneeze unajichimba kifua