kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Dame yako amekonda hadi yeye huchungulia kwa key hole na macho zote mbili.
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
msee akona maskio kubwa hadi anashika waves za safaricom