Fredrick Were
@user3380
·
na gonagi
Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Asubuhi asubuhi koo na omena
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.