naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
We mzee na danda mbaka ulikuwa naso na onyato ati na ujamada form four bado
wewe ni msupa tu sana
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa