Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
Wewe ni fala unarewind CD na biro pen
were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle
Umeunga mpaka unatoanga ngozi ya miwa ka ndizi
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa