Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Wewe ni mweusi mpaka ukitumia mtu Selfie inajiandika scratch to reveal.
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!