msee akona maskio kubwa hadi anashika waves za safaricom
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu