NEWBIE 254
@user1593
·
money
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua
nyumba yenu imetengenezwa na matope.
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”