We ni mzee Hadi ukifanya 180 unahara bluband.
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Mmesota hadi nyi hukula ugali na story za nyama
Una kichwa kubwa mpaka dream zako zushow in dolby surround.