were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle
We ni mzee Hadi ukifanya 180 unahara bluband.
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar