We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Ati wewe mweusi tu sana mpaka hauna bright ideas.
uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.
Kwenu muko wengi mpaka mathe hupika chapo mbili zingine anafanya photocopy ndio yeye na fathe wakule original