umenona hadi ukivaa t-shirt ya green unakaa kibanda ya mpesa
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
Kwenu nyinyi ni wagesi mpaka coackroach zinademonstrate juu ya njaa
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta