Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu