nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
naskia shosh Yako Ako na mbio Hadi kwa mlango ameekewa bams
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!