Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Nywele za watoto wenyu ni ngumu mpaka mnazitumianga kama steel wool
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers