Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa