Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.
nasikia wewe ni mfupi mpaka wajua pahali shetani anaficha chupi
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Asubuhi asubuhi mapera na maziwa ya nguruwe