Ndugu yako akikufunza kuvua samaka, hapana vua mahali yeye anavua. na hatuongelelei samaki. Tafakari ya bubu. ~Wallalo_siku_zote06
Ni heri shimo iko kwa mkono yako, kuliko mkono iko kwa shimo yako.
Wahuni wakiamka, mswaki ni moshi ~ Diman Mkare Classics
Usikazie tanye mtu anapendwa na Mungu, utapasuka msamba. ~Wepesi
Maskini mabatini, usingizi ni ya ulaya. ~Toronto boys
Kiuno si ukubwa, kiuno ni kitu imefungwa hapo. ~Toronto boys
Fulifuli, kijana handsome lakini chupi mkebe. ~Toronto boys