Mchongoano
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
Origin:
Likes: 1
More..
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
Origin:
Likes: 1
More..
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
Origin:
Likes: 0
More..
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Origin:
Likes: 2
More..
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua
Origin:
Likes: 2
More..
Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka
Origin:
Likes: 0
More..
Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Origin:
Likes: 0
More..
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Origin:
Likes: 0
More..
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Origin:
Likes: 1
More..
Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu
Origin:
Likes: 0
More..